Kiwanja kinauzwa Dodoma

Kiwanja kinauzwa Dodoma

amu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2012
Posts
16,143
Reaction score
31,297
Kiwanja kinauzwa dodoma mjini kimepimwa na kina hati,eneo km za mraba 608 kipo st john kwa mbele chinangali west, huduma za kijamii zipo na mji umejengeka mawasiliano 0karibu bei maelewano
 
Weka kianzio cha bei mkuu ili kuongeza ushawishi
 
Square km 608
Duh,
Yaani tuseme Km 30.4 x km 20,
Kwamba Urefu mmoja ni sawa na Ubungo Mataa- Kibaha Maili Moja,
Na upana wa kiwanja ni sawa na Ubungo Mataa- Kiluvya
 
Kiwanja kinauzwa.Dodoma mjini,kimepimwa na kina hati,eneo km za mraba 608..kipo st john kwa mbele chinangali West,huduma za kijamii zipo na mji umejengeka ....
Mwasiliano 0689137585 au 0767058989..karibu bei maelewano
Square km 608
Duh,
Yaani tuseme Km 30.4 x km 20,
Kwamba Urefu mmoja ni sawa na Ubungo Mataa- Kibaha Maili Moja,
Na upana wa kiwanja ni sawa na Ubungo Mataa- Kiluvya
 
Kiwanja kinauzwa.Dodoma mjini,kimepimwa na kina hati,eneo km za mraba 608..kipo st john kwa mbele chinangali West,huduma za kijamii zipo na mji umejengeka ....
Mwasiliano 0689137585 au 0767058989..karibu bei maelewano

Hii inathibitisha kuwa vipimo vya urefu huvijui maana umerudia kosa

Kuwa makini ndugu yangu
Square km 608
 
Uju3 nim3jicheka..nimetulia nimesoma nimejicjjeka sana jamani...metres siyo km...jamank kweli hesabu haikuniacha salama
 
Duh,
Yaani tuseme Km 30.4 x km 20,
Kwamba Urefu mmoja ni sawa na Ubungo Mataa- Kibaha Maili Moja,
Na upana wa kiwanja ni sawa na Ubungo Mataa- Kiluvya
Anauza kata nzima huyu ndugu hahahaaaaa hawa ndo wahujumu uchumi.

Halafu karudia mara mbili hahaaqa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom