Baba Watoto
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 393
- 278
Kiwanja kipo njia ya kwenda Marian School kima hati. Kinauzwa milioni 8. Hakuna mtu wa kati. Karibu.
Maelekezo:
Kiwanja kipo 1Km kushoto ya Paradise hotel kutokea mjini. Kina ukubwa wa ekari moja. Hakuna program yeyote itakayopita huku zaidi ya kuwa jirani na project ya ihi na nyumba za wafanyakazi wake. Ni eneo lilotengwa kwa makazi. Hii inaenda kwa 6M. Kwa serious buyers PM tizungumze uzuri na kwa wale wanaopenda kaa DSM nje ya mji ninae kiwanja maeneo ya Majohe. Bado najifikiria kuuza hii 79X20 Block A No 79. Nishawishi.
Kwako ni tetesi, PM upate ukweli juu ya tetesi umesikia.
Nawasilisha wakuu. Au niweke na cooy za makaratasi?