Kiwanja kinauzwa 6.5m

Karibuni wadau, Kiwanja bado kipo, bei bado hazijafika panapostahili
 
Mkuu kwa zogo Ali mbal kule jaribu kupunguza kdg af kuna asili ya majimaj kule usiuzie Kama upo juu boss
 
Mkuu kwa zogo Ali mbal kule jaribu kupunguza kdg af kuna asili ya majimaj kule usiuzie Kama upo juu boss
Zogo Ali ipi mkuu yenye asili ya maji maji. Maeneo niliyopo hakuna hicho kitu. Hiyo ndio bei stahili
 
Mkuuu punguza bei umeanzia mbali sana sema sababu ya kweli kwann unauza usije ukambambika mtu ukarogwa kaka
 
Ushauri wa hovyo kabisa. Kuna shule gani ya maana ya serikali ya kumpeleka mtoto, kwa mzazi anyejali future ya watoto aliowaleta duniani! hayo ya hatakusaidia ni majaliwa ya mungu, we timiza wajbu wako.
 
Ushauri wa hovyo kabisa. Kuna shule gani ya maana ya serikali ya kumpeleka mtoto, kwa mzazi anyejali future ya watoto aliowaleta duniani! hayo ya hatakusaidia ni majaliwa ya mungu, we timiza wajbu wako.
Wema usizidi uwezo. Nitajie mtu wa maana unayemfahamu amabaye amesoma shule za kudekeza dekeza watoto! Taja. Le Mutuz?
 
dar unauza bei bdogo saba au iyo seemu auina umeme au kina mgogoroo??? au kinajaa majiii???
yani kama shida ni vyuma bro bado siku mbili tyu
 
Nimerudi tena wadau, nilitulia kidogo kusoma upepo. Kiwanja bado kipo, na bei imeshuka. Saivi nauza kwa 5.4M
 
[QUOTieE="kilambimkwidu, post: 27264089, member: 444704"]2.5 cash nichek pm[/QUOTE]
Nipigie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…