Kiwanja kinahitajika maeneo ya Tegeta.

Kiwanja kinahitajika maeneo ya Tegeta.

Kambonna

Senior Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
175
Reaction score
69
Wakuu habari tafadhari kuna vijihela nimeviotea sehem naombeni kwa yeyote anaejua kama kuna kiwanja maeneo ya tegeta anijuze tafadhali.
 
Wakuu habari tafadhari kuna vijihela nimeviotea sehem naombeni kwa yeyote anaejua kama kuna kiwanja maeneo ya tegeta anijuze tafadhali.
Kama unavijihela Tegeta itoe ktk akili yako,subiri utakapopata mihela
 
Mkuu ni vihela kwa mujibu wa pesa zetu za madafu lakin nadhan vinaweza kununua kiwanja maeneo hayo.
Kumbe ulitumia maneno ya joka lenye makengeza mabilioni kuita vijisenti na ya yule mama mil 10 kuita hela ya mboga, subiri madalali waje
 
Kumbe ulitumia maneno ya joka lenye makengeza mabilioni kuita vijisenti na ya yule mama mil 10 kuita hela ya mboga, subiri madalali waje

Hahaha tunafanyaje wakati viongoz wenyewe ndio wanatufundisha.
 
Kikubwa ni kupata kiwanja naondoa fikra za tegeta maeneo yoyote dar ambayo yapo karibu na barabara pesa ipo jamani nisaidieni ntaitumia.
 
Ni pm nikupe contact za kupata viwanja vizuri Bunju. Laki ni 2km toka barabarani.
 
Wakuu tusaidiane kwa wale madalali namba yangu ni 0718145012.
 
Kikubwa ni kupata kiwanja naondoa fikra za tegeta maeneo yoyote dar ambayo yapo karibu na barabara pesa ipo jamani nisaidieni ntaitumia.
Ww unataka cha ukubwa gani? Kuna kimoja kinauzwa 20*20 kipo jirani na barabara ya kunduchi Silver sand. Mill 15. Mm nilitaka kununua iila bei imenishinda
 
Ww unataka cha ukubwa gani? Kuna kimoja kinauzwa 20*20 kipo jirani na barabara ya kunduchi Silver sand. Mill 15. Mm nilitaka kununua iila bei imenishinda

Mkuu ni pm au kama vipi nibeep tu no yangu ni 0718145012.hata kama ni kifuta jasho utapata mkuu.
 
Mnunuaji angalia huo moto wako na kasi hiyo usije kulizwa.
Na inaonekana ndio mara yako ya mwanzo kununua kiwanja,sasa hapo napo lazima uwe makini sana.

Nimekuelewa mkuu ushauri mzuri ila sio mara ya kwanza kununua kiwanja kaka.nilisha nunua maeneo ya temboni na msingwa.
 
Mkuu weka Bajeti yako na maeneo unayopenda,mie nina viwanja vingi na vizuri ila Commision yangu ni 10% kama upo vizuri nikupeleke,nakata 10% coz siweki hela ya udalali nakuunganisha na mwenyewe,Viwanja vipo Boko,Mapinga,Bunju,Kigamboni,Madale,Chasimba tegeta(Ila hapa kuna migogoro kati ya wazo na wakazi ila watu wanaishi).Kwa viwanja hivyo nilivyokutajia andaa 8m mpaka 15m,ni viwanja na si viganja vya 20 * 20,Hivyo vyote ni zaidi ya 30 kwa 30.
 
Wakuu habari tafadhari kuna vijihela nimeviotea sehem naombeni kwa yeyote anaejua kama kuna kiwanja maeneo ya tegeta anijuze tafadhali.

Kuna viwanja vya urithi maeneo ya Tegeta Salasala karibu na barabara ya Skanska. Utaweza kuvipata kwa bei nzuri tu. Piga namba hii kwa habari zaidi 0772977330
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom