we unataka kuuza lile eneo la kiwanja cha ndege nini au ushalipwa unataka kumshikisha mtu gumashi? Holili pakame sana, ndo mana unaweza kupata kiwanja eka 15! ukinunua holili ndoto ya kulima sahau kabisaaa, labda ujenge nyumba za kupangisha pindi uwanja wa ndege ukifunguliwa
Tatizo mnaongea kisiasa zaidi,nimewapa maelekezo ya kutumia namba niliyoweka hapo juu,kama ni mtihani mmefeli,ndio mara ya kwanza kupata majibu hasi kama haya..mara ukame mara nini too many silly excuses..mnafananisha holili na jangwa..?WENYE NIA TUNAWASILIANA NAO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.