Kiwanja chenye msingi kinauzwa 6.5m

VIP MKUU ULISHAPATA MTEJA??? NA BEI NI NGAPI KWA SASA
 
Njoo nikupe kiwanja mbez msumi jirani na shule ya secondary mbopo umeme upo na maji ukubwa wake ni 20*23 metres . . . 6 milioni
 
Amadoli said:
Njoo nikupe kiwanja mbez msumi jirani na shule ya secondary mbopo umeme upo na maji ukubwa wake ni 20*23 metres . . . 6 milioni
Mwombe Mungu ingawa umeingia kwenye Uzi wangu.
 
Mi nataka ila uwoga wa kutapeliwa, hela yenyewe imekuwa ngumu kweli.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…