wang'ambo
Senior Member
- Nov 29, 2015
- 113
- 27
Wasalamu wana JF nimenunua kiwanja mwezi Aprili nikakilipia %90 zikabaki hizo zingine,kabla sijamalizia naenda site nakuta jirani yangu alieuziwa kajenga kaingia mpk kwenye eneo langu,kisheria hapo nani anastahili kulishughulikia hili?, maana nimeongea na yule alieniuzia japo malipo sijamaliza yote naona anazingua nikimpandia MAHAKAMANI naweza pata msaada au kisheria mimi ndio natakiwa nilishughulikia mpka mwisho?