WanaJamvi,
nauza kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, kipo Buyuni eneo lililopimwa na wizara ya ardhi mwaka 2006/2007.
kipo located sehemu nzuri sana as per the plan, kinalipiwa rent kila mwaka na kwa sasa kuna mradi mkubwa wa nyumba wa mfuko wa PPF unaendelea kwa kasi kubwa.
Bei ni ya serikali iliyopo sasa ambayo ni TZS6000/sqM though maelewano yanaweza kuwepo kidogo kwa serious buyer.
kwa anayehitaji au dalali niPM
nauza kiwanja chenye ukubwa wa sqm 2000, kipo Buyuni eneo lililopimwa na wizara ya ardhi mwaka 2006/2007.
kipo located sehemu nzuri sana as per the plan, kinalipiwa rent kila mwaka na kwa sasa kuna mradi mkubwa wa nyumba wa mfuko wa PPF unaendelea kwa kasi kubwa.
Bei ni ya serikali iliyopo sasa ambayo ni TZS6000/sqM though maelewano yanaweza kuwepo kidogo kwa serious buyer.
kwa anayehitaji au dalali niPM