Kiwanja hiki kipo wilaya ya Temeke Dar es salaam. katika mji wa mwasonga uliopo kisarawe 2 unaingilia njia panda ya Dar es salaam zoo. ni km 35 kutoka feri ya kigamboni. kiwanja hakina hati ila survey imefanyika na inaonesha kipo katika eneo la makazi ya watu. kinauzwa Tsh 7,000,000 milioni saba
kwa anayetaka tuwasiliane 0657 145555 au 0754 278 278
kwa anayetaka tuwasiliane 0657 145555 au 0754 278 278