Kiwanja cha hekari 2.5 kinauzwa

Kiwanja cha hekari 2.5 kinauzwa

Akiri

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2010
Posts
1,445
Reaction score
216
Kiwanja hiki kipo wilaya ya Temeke Dar es salaam. katika mji wa mwasonga uliopo kisarawe 2 unaingilia njia panda ya Dar es salaam zoo. ni km 35 kutoka feri ya kigamboni. kiwanja hakina hati ila survey imefanyika na inaonesha kipo katika eneo la makazi ya watu. kinauzwa Tsh 7,000,000 milioni saba

kwa anayetaka tuwasiliane 0657 145555 au 0754 278 278
 
Kiwanja hiki kipo wilaya ya Temeke Dar es salaam. katika mji wa mwasonga uliopo kisarawe 2 unaingilia njia panda ya Dar es salaam zoo. ni km 35 kutoka feri ya kigamboni. kiwanja hakina hati ila survey imefanyika na inaonesha kipo katika eneo la makazi ya watu. kinauzwa Tsh 7,000,000 milioni saba

kwa anayetaka tuwasiliane 0657 145555 au 0754 278 278


unataka kuwauzia wepemba nn? toa umbali kutoka kisalawe bwana.
 
35km from feri hilo ni shamba, sio Kiwanja.
Tuongee biashara ya shamba, chukua 1.6mil @ Heka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom