Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 899
Hapana mkuu nadhani nilifanya wrong approximation.ila kiko safe place i assure youAsante kwa taarifa,nilitaka niulizie na mambo mengine ila kuna mchangiaji mmoja hapo juu kanifanya nisite kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu nime regulate nadhani sikufanya approximation vizuri ni kama 130/160.kiko safe place i assure you!Morogoro Road wamevunjiwa walio ndani ya Mita 121 kutoka Main Road Halafu Wewe unasema Kiwanja chako kiko Mitan80-90 kutoka Main Road
Nunua ukivunjiwa nakulipa 10 times the amount(650millions)Itakuwa umepewa notes ya kuvunja hapo.
Poa mkuuNunua ukivunjiwa nakulipa 10 times the amount(650millions)
Huoni ramani ya mipango miji!?Morogoro Road wamevunjiwa walio ndani ya Mita 121 kutoka Main Road Halafu Wewe unasema Kiwanja chako kiko Mitan80-90 kutoka Main Road
Hatakuwa haelewiHuoni ramani ya mipango miji!?
Huoni ramani ya mipango miji!?
Kwanza nimeregulate 130/170 mita.Morogoro Road ramani ulikuwepo na walijenga kabla ya Mawe kuwepo lakin Greda linasaga saga Nyumba