Ni matumaini yangu kwmb wana jf mpo poa!naomba kujuzwa kiwango cha mishahara kwa hawa wakala wa barabara tanzania TANROADS hasa kwa nafasi za WEIGHBRIDGE OPERATORS!Nimeona salary scales km vile TAN SCALE 3.1,TAN SCALE 4.1,TAN SCALE 5.1,TAN SCALE 6.1 ila sijajua kiwango halisi kw izo scale zao!naomba mwenye info zaidi anisaidie!nawasilisha kwenu great thinkerz thanks!
Nenda TANROADS, utajibiwa vizuri swali yako.
Nenda TANROADS, utajibiwa vizuri swali yako.
Sio lazima TANROADS uende, Hii ni forum so kuna m2 atakupatia jibu zuri, labda anaweza akawa mfanyakazi wa TANROADS au.....vuta subira
si uwaulize bosi zako?
\si uwaulize bosi zako?
umeitwa kwenye interview?... kujua kiwango cha mshahara hakitasaidia....... wakati wa interview wakikuuliza kama una chochote waulize hilo swali
kwa operator take home ni 1 m na elf 70(salary plus allowance) ... kwa shift incharge take home inakaribia 1.3Ni matumaini yangu kwmb wana jf mpo poa!naomba kujuzwa kiwango cha mishahara kwa hawa wakala wa barabara tanzania TANROADS hasa kwa nafasi za WEIGHBRIDGE OPERATORS!Nimeona salary scales km vile TAN SCALE 3.1,TAN SCALE 4.1,TAN SCALE 5.1,TAN SCALE 6.1 ila sijajua kiwango halisi kw izo scale zao!naomba mwenye info zaidi anisaidie!nawasilisha kwenu great thinkerz thanks!
kwa operator take home ni 1 m na elf 70(salary plus allowance) ... kwa shift incharge take home inakaribia 1.3
na basic salary kwa commercial bank za hapa bongo inarrange kiasi gani?kwa operator take home ni 1 m na elf 70(salary plus allowance) ... kwa shift incharge take home inakaribia 1.3
mtu akiuliza ajibiwe jamani maana ni haki yake kuulizana basic salary kwa commercial bank za hapa bongo inarrange kiasi gani?
Duh! Sijapata jibu, ngoja nami niulize, hivi TANROADS salary scale 2.1 ni Tsh ngapi wakuu.
security Guard wa TANROAD anaweza pokea mshara wa sh.ngap,and incentives zipi waweza pata as security guardTsh 460,000/-