S SaiGonE JF-Expert Member Jul 16, 2015 426 109 Nov 28, 2016 #1 Inasemekana kiwanda cha Vick Fish MwAnza kimefungwa na watu kulipwa stahiki zao. Je mlioko MwAnza habari hizi ni za kweli?????
Inasemekana kiwanda cha Vick Fish MwAnza kimefungwa na watu kulipwa stahiki zao. Je mlioko MwAnza habari hizi ni za kweli?????
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,502 9,429 Nov 28, 2016 #2 Ngoja nimuulize jamaa yangu anafanya kazi hapo kiwandani
Victoire JF-Expert Member Jul 4, 2008 24,124 56,554 Nov 28, 2016 #4 Mpaka Tanzania itakuwa kama Cuba , socialism ni ngumu sana , serikali inatakiwa iwe na hela nyingi ili ujamaa ufanye kazi.Bila matajiri nchi haiendi .
Mpaka Tanzania itakuwa kama Cuba , socialism ni ngumu sana , serikali inatakiwa iwe na hela nyingi ili ujamaa ufanye kazi.Bila matajiri nchi haiendi .
G'taxi JF-Expert Member Sep 15, 2013 6,543 8,394 Nov 28, 2016 #5 Hakijafungwa,kimepunguza wafanyakazi kwa kubadilika hali ya biashara soko la minofu ya samaki huko nje,kiwanda hakijafungwa,karibu Rock City
Hakijafungwa,kimepunguza wafanyakazi kwa kubadilika hali ya biashara soko la minofu ya samaki huko nje,kiwanda hakijafungwa,karibu Rock City
Nifah JF-Expert Member Feb 12, 2014 31,189 63,620 Nov 28, 2016 #6 Ohoooooo mengine tena haya. Hatujamaliza mjadala wa Dangote na cement,yamekuja ya Vick na samaki. Sababu ni nini?Sato hakuna ziwani?
Ohoooooo mengine tena haya. Hatujamaliza mjadala wa Dangote na cement,yamekuja ya Vick na samaki. Sababu ni nini?Sato hakuna ziwani?
W wa hapahapa JF-Expert Member Aug 22, 2012 7,454 4,374 Nov 28, 2016 #8 Hivi ndoto yaTanzania ya viwanda bado ipo...