Morocco forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,121
- 6,879
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Iran kama N. Korea anahangaika kujimwambafy wakati raia wanakufa kwa umaskini wa kututwa
oooooohoooooo umbeya tenaaKanusha kwa facts acha umbeya
Huyu mama saivi yuko wapi?Unamjua huyu mama[emoji1320][emoji1320][emoji1320] waulize Black September wakuambie maana ya "Wrath of God"
Waliwindwa dunia na wakapatikana na kuuliwa kama kuku kila mmoja akila risasi 11View attachment 1801386
Atakuambia yuko kwa yesuHuyu mama saivi yuko wapi?
Baada ya kumuamini mzee wako unaenda kumuamini mama wa kiyahudi ambae hakusaidii wala hakujui, emdelea na utumwaUnamjua huyu mama[emoji1320][emoji1320][emoji1320] waulize Black September wakuambie maana ya "Wrath of God"
Waliwindwa dunia na wakapatikana na kuuliwa kama kuku kila mmoja akila risasi 11View attachment 1801386
[emoji1787]Atakuambia yuko kwa yesu
Duh mkuu kumbe we kijiwe chako ni humu tu.huzunguki mitandaoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787] search comparison between the two countriesWewe upo sijui tandale umejuaje wanakufa njaa! Punguza au acha kabisa kukaa vijiwe vya kahawa
Huyo mama waarabu na wapalestina hawatakaa wamsahau wamemuadika kwenye vitabu vyao vya kumbukumbu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kumuamini mzee wako unaenda kumuamini mama wa kiyahudi ambae hakusaidii wala hakujui, emdelea na utumwa
Mashiga wengi hapa bongo na pwani ya ke ni waislam au wakristo maana tuanze kutoa boriti kwenye macho yetu kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]oooooohoooooo umbeya tenaa
maneno ya kike hayooo
Ashavutaga ila waulize waarabu habari yake, humu wataleta mitusi maana wanamjua[emoji379][emoji379][emoji379]Huyu mama saivi yuko wapi?
Nlikuambia watatukana maana aliwanyoosha day moja ntakuja na story ya huyu "IRON LADY" mwanamke pekee kuwa Waziri mkuu wa Israel[emoji1787]
Kwa hio keshakuwa skeleton huko aliko. Powerless [emoji848]Ashavutaga ila waulize waarabu habari yake, humu wataleta mitusi maana wanamjua[emoji379][emoji379][emoji379]
Duh mkuu kumbe we kijiwe chako ni humu tu.huzunguki mitandaoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787] search comparison between the two countries
huelewekii unayoyaongea mara mambo ya umbeya mara mashiga mara waislam mara wakristoMashiga wengi hapa bongo na pwani ya ke ni waislam au wakristo maana tuanze kutoa boriti kwenye macho yetu kwanza[emoji23][emoji23][emoji23]
Iran inaitakia nini Israel huku Iran inagongwa kila wakati huko Syria inachakazwa huko kwake Teheran wanasayansi wameuawa bado milipuko mingi inatokea iran
are you normal???????Fake news
watu wengine usisubuke kuwajibu, wanachojua ni zile stori za kule vijiwe period, sasa na hata hajui iran iko wapi ataelewa nini huyuAnarukaruka wakati wenyewe wanakiri
hio hata hajawi sikia, atafikilia ni wilaya au kijiji fulani hiviUnajua maana ya cyber attacks