EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
- Thread starter
-
- #21
Sa uongo upo wapi it is all over the newsJuzi mlikuja na uzi hapa sijui kiwanda cha drone mpya charipuka, leo pia mnakuja na uzi mwengine wa magazeti ya the Guardian na magazeti na mengine kwamba kiwanda kimeripuka wakati hizo habari hazipo kwenye vyombo vyengine[emoji23][emoji23] na mapicha ya kiwanda cha Saudia mmetuletea, kwasasa hio haiwezekani labda kwenye ndotoView attachment 1800105
Si hii ndio source ya taarifaJuzi mlikuja na uzi hapa sijui kiwanda cha drone mpya charipuka, leo pia mnakuja na uzi mwengine wa magazeti ya the Guardian na magazeti na mengine kwamba kiwanda kimeripuka wakati hizo habari hazipo kwenye vyombo vyengine[emoji23][emoji23] na mapicha ya kiwanda cha Saudia mmetuletea, kwasasa hio haiwezekani labda kwenye ndotoView attachment 1800105
Iran is launching 5 new satellitesSi hii ndio source ya taarifa
Wagonjwa wa akili hawa
Israel ni wazuri kwa elimu na ubunifu,, Tazama wampigavyo Iran kisayansi. Nchi za kiarabu zote kama zikipatana na Israel zitabebwa sana kiuchumi kama vile USA walivyo zibeba nchi za EU. UAE hivi sasa wanapanda chati vizuri sana katika kutatua matatizo ya maji safi ya kunywa ambapo Israel ipo masaa 24 kuwaboreshea huduma hii nyeti.Chuki na fitina haziwasaidii Arab league.Israel [emoji1134] waoneeni huruma Wairan! Jana tu kumetokea mlipuko mkubwa sana kwenye kiwanda cha Iran cha kutengeneza ndege vita zisizo na rubani na leo tena kumetokea mlipùko na moto mkubwa sana kwenye kiwanda cha kuchakata mafuta cha Iran [emoji1130], dah!
The refinery was inaugurated by Iranian President Hassan Rouhani just a few months ago, with an expectation of generating about $1 billion in revenue for Iran. The large fire was reported at the Kangan Petro Refining Co. (KPRC) in southern Iran along the coast of the Persian Gulf on Monday, just a day after an explosion reportedly impacted a drone factory in the center of the country. According to Iranian media, a fire at the waste warehouse at KPRC with no injuries reported in the fire. Video footage reportedly from the scene of the fire showed large amounts of smoke billowing out of a warehouse.
The cause of the fire has not yet been reported and is still under investigation.
The fire comes just a day after nine people were injured in an explosion. The Guardian reported on Sunday that the blast actually took place at the Iran Aircraft Manufacturing Industrial Company (HESA), which produces a variety of aircraft, including drones, for Iranian and pro-Iranian forces and is also located in Shahin Shahr.
The explosion was linked to the shooting down of a drone by Israel near the Jordanian border last week, the report said. Prime Minister Benjamin Netanyahu said it was an Iranian drone sent from either Iraq or Syria. The IDF collected fragments of the destroyed aircraft for further examination.
The news of the fire and the explosion comes just days after Iranian officials reported major progress in negotiations on renewing the Iran nuclear deal.
Last Thursday, Rouhani said all parties to the talks have agreed to lift “all major sanctions” on Iranian oil, petrochemicals, shipping, insurance and the central bank.
Last year, a series of explosions and fires hit industrial sites across Iran, including a number of petrochemical plants. Iranian officials referred to most of the cases as incidents or accidents, although some reports have claimed that at least some of them involved foul play.
Mtu anapigika kisayansi hamna haja ya ndege vita.
View attachment 1799919
Iran ni joka la dunia.hiki sicho kipindi cha kueneza dini na himaya ya shia kinguvu. wao wameleta vita Yemen, na uhasama wa Hisballah + hamas vs israel.acha israel iwateketeze hao wabishi wa duniaHawa Iran wazembe sana, halafu eti ndio tegemeo la wavaa kobaz dunia yote, hudukuliwa kizembe sana hovyoo tu.
Ww kweli tango poriIran ni joka la dunia.hiki sicho kipindi cha kueneza dini na himaya ya shia kinguvu. wao wameleta vita Yemen, na uhasama wa Hisballah + hamas vs israel.acha israel iwateketeze hao wabishi wa dunia
Wewe kwa mtazamo wako wewe na huyo uliyemwambia tango Pori nani tangopori?Ww kweli tango pori
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Iran kama N. Korea anahangaika kujimwambafy wakati raia wanakufa kwa umaskini wa kututwaHakuna habari za kulipuka kiwanda sjui mafuta, hakuna hio, sasa jipangeni vizuri kuna hili jengine keshokutwa [emoji116]Iran is launching 5 new satellites
The Iranian Space Agency has announced the design of four satellites and the preparation of five more to launch into space, under an Iranian space industry program.
Leta ushahidi wa saudia[emoji28][emoji28][emoji28]Mbona kiwanda hicho kipo saudia aisee jifunzeni uwongo upya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wairan wa humu mwanzoni walisema fake news saivi wanadai kiwanda cha SaudiaHawa Iran wazembe sana, halafu eti ndio tegemeo la wavaa kobaz dunia yote, hudukuliwa kizembe sana hovyoo tu.
Kanusha kwa facts acha umbeyadaaaaaaah Jamii forum ya siku hizi imekuwa eneo la kuongopeana
yaaani vijana wamehamisha story zao za chini ya mwembe wamezileta humuu...
aiseee wahusika wa hii forum wachukulieni hatua wooote wanaotulisha matango poriiii
Yaani mtu anapigwa bonge la konzi kimya kimya anaangalia kulia na kushoto akiona hajaonwa anasema sijapigwa, jamaa anaongeza jingine [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Israel ni wazuri kwa elimu na ubunifu,, Tazama wampigavyo Iran kisayansi. Nchi za kiarabu zote kama zikipatana na Israel zitabebwa sana kiuchumi kama vile USA walivyo zibeba nchi za EU. UAE hivi sasa wanapanda chati vizuri sana katika kutatua matatizo ya maji safi ya kunywa ambapo Israel ipo masaa 24 kuwaboreshea huduma hii nyeti.Chuki na fitina haziwasaidii Arab league.
Uliskia wapi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Iran kama N. Korea anahangaika kujimwambafy wakati raia wanakufa kwa umaskini wa kututwa
Unamjua huyu mama[emoji1320][emoji1320][emoji1320] waulize Black September wakuambie maana ya "Wrath of God"Uliskia wapi View attachment 1801213