Kivuko kipya cha Msangamkuu chawasili Mkoani Mtwara

Kivuko kipya cha Msangamkuu chawasili Mkoani Mtwara

kidolix18

Member
Joined
May 27, 2014
Posts
13
Reaction score
3
Kama kawa Serikali inatekeleza ahadi zake. wananchi wa Mtwara kwa hakika wamefurahi
 
Hakuna aliefurahi hata mmoja ,ni lazima miccm waondoke madarakani mtatimiza kila ahadi wazungu wanasema IT IS TOO LATE !!! Leo mmeona mnazama ndio mnamjua Mwenyezi Mungu mafirauni nyie ,WaMtwara mshatupiga sana mshatutesa sana,mshatusingizia ni kituo cha magaidi ,hicho kivuko ni hela halali ya wananchi na ni haki yao sio cha kujisifia ,yaani ukimaliza uchaguzi nacho kinasimama hakuna hela ya kukifanyia ukarabati. Nendeni zenu hakuna aliefurahi hata mmoja !!
 
Sijawahi ona mkulima anafurahia mabua shambani kwake baada ya ngedere kula mahindi yote.
 
Back
Top Bottom