Mechanist
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 724
- 494
Sasa imeshakuwa too much! Yaani hiki kivuko kinaboa mara ferry isimame njiani, mwendo kama wa kobe, mara mchukue mda mwingi kusubiria ferry yaani ni taabu tupu. Sijui hii nchi ina laana? Hivi ni lini serikali itatoa huduma bora? Maana si shule, si hospitalini huduma za serikali huwa ni mbovu. Mbona vivuko vya kamanga wako vizuri? Tutakutana 2020.