Baba Ubaya
Senior Member
- Jun 24, 2008
- 127
- 21
Kwa wakazi wa mwanza hali ya kivuko cha busisi kwenda sengerema hali inazidi kua mbaya badala ya kuboreka.
Uvushaji wa abiria hapa na magari ni kero sana.
Hiki ni kivuko cha Serikali tulitegemea hali ingekua nzuri hasa baada ya barabara ya kwenda geita hadi bukoba kuwa lami imefanya magari mengi kutumia kivuko hiki cha kushangaza hali ndo inazidi kuwa ovyo
Ni jambo la kushangaza unafika kuvukoni hapa saa 8 unavuka saa moja.Wausika tunaomba mlioshugulikie hili wananchi tumanaumia sana
Uvushaji wa abiria hapa na magari ni kero sana.
Hiki ni kivuko cha Serikali tulitegemea hali ingekua nzuri hasa baada ya barabara ya kwenda geita hadi bukoba kuwa lami imefanya magari mengi kutumia kivuko hiki cha kushangaza hali ndo inazidi kuwa ovyo
Ni jambo la kushangaza unafika kuvukoni hapa saa 8 unavuka saa moja.Wausika tunaomba mlioshugulikie hili wananchi tumanaumia sana