Padre kawauliza waumini:
PADRE: Ni kiungo gani cha mwili hupatikana katika sehemu iliyojificha na kina wingi wa unyevunyevu kinaweza kufanya ndoa iwe IMARA sana au KUYUMBA?
WAUMINI: Kimya huku wameinamisha vichwa vyao chini.
PADRE:Inukeni niwaonyeshe,ni hiki akagusa "ULIMI", Mlifikiri ni nini??!!
NA WEWE JE?? HEBU NAMBIENI MLIFIKIRI NI NINI??!!