Kiukweli wasichana wazuri ni wabovu sana kitandani

chanawaleti

Senior Member
Jul 4, 2016
176
209
Wanasema uzuri wa ngoma ingia ulicheze.

Kiukweli Mungu hakupi vyote, ndiyo maana ukifuatilia wasichana wote wazuri warembo huwa hawadumu wakiolewa. Unakuta msichana ni mzuri sura, ana umbo, ila tu akitembea na mwanaume mara moja harudii hii inachangiwa na nini?

Ila unakuta msichana ana sura ya kawaida ila 'mashine inaita mbaya', ina high na low, hii huchangiwa na nini?
 
Siku hizi wanaangalia noti, hilo gogo unaloliona wewe kwa mwenzio anakuwa kama panga boi. Ukiwa unahonga elfu kumi utapewa mapigo ya thamani hiyo na ukitoa zaidi na nakshi nakshi zinaongezwa. Hizo sura siku hizi wala hazina mantiki tena maana wachina washatengeneza kuanzia nywele mpaka shepu.
 
Ni kanuni ya maumbile,"huwezi kuwa na kila kitu',ndio maana warefu, wafupi, wanene, wembamba, weupe na weusi kila mmoja ana nafasi yake.Hiki anakosa, kile anacho.Hiki anacho kile hana!!!
Hivyo, uzuri wa sura na maumbile sio kigezo cha kuonekana wewe ni wewe tu!Na cheo, pesa, elimu au umaarufu hivi vyote haviondoi hizo tofauti za maumbile.

Acha mungu aitwe mungu
 
Simple. Wanalewa sifa. Kichwani kwake anachojua yeye ni kuendelea kupata sifa za uzuri na hivyo hajishughulishi na vingine, si kitandani tu, bali mpaka kwenye masomo na kazini. Ukimkuta mzuri na anajiweza basi huyo hana makuu na hajalewa sifa. "Wa-kawaida" silaha yake ni kujifunza na kuwa bora kwa kila kitu ili afidie "u-kawaida" wake
 
Simple. Wanalewa sifa. Kichwani kwake anachojua yeye ni kuendelea kupata sifa za uzuri na hivyo hajishughulishi na vingine, si kitandani tu, bali mpaka kwenye masomo na kazini. Ukimkuta mzuri na anajiweza basi huyo hana makuu na hajalewa sifa. "Wa-kawaida" silaha yake ni kujifunza na kuwa bora kwa kila kitu ili afidie "u-kawaida" wake

Asante kwa kutupatia jibu..
Wanabweteka,wakidhani uzuri wao ndo unamaliza yote
 
Simple. Wanalewa sifa. Kichwani kwake anachojua yeye ni kuendelea kupata sifa za uzuri na hivyo hajishughulishi na vingine, si kitandani tu, bali mpaka kwenye masomo na kazini. Ukimkuta mzuri na anajiweza basi huyo hana makuu na hajalewa sifa. "Wa-kawaida" silaha yake ni kujifunza na kuwa bora kwa kila kitu ili afidie "u-kawaida" wake

Asante kwa kutupatia jibu..
Wanabweteka,wakidhani uzuri wao ndo unamaliza yote
 
mmh kuna kaukweli flani hapa....
Mustaphagentleman, ulidate na Mjita kama kabila au umelitumia tu kama neno tu???? Ikiwa jibu ni NDIYO ulidate na mdada wa KIJITA, nambie kabila lako nilipize kisasi nione kama nao ni bora isijekuwa unawasemea/kuwachafua tu Wajita. (Natania Bro.) Usijepanic
Coz hawataki kujifunza kwa Makungwi na Lifestyle yao wanachukulia uhuni kujifunza Nili date na mjita mmoja yani hakatiki hata mzitoo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom