Nakuchukia sana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 548
- 1,070
Kuna elimu nlkuwa nataka kwenu il njpange na maisha.Ila nliigiza kama mzee ndio niipate mawaidha
Ambachonmegundua,mabachela, hawapendwi.kiuhalisia familia n bora,polen kwa nliyo wa udhi.mm nmezoea utan,ila asanten kwa ushaur
Ila mimi npo hapa chuo kikuu DSM nasomea sheria,ila nna girlfriend, ila nyie mnanipa raha kwel ila mapenzi yaendelee.
Ambachonmegundua,mabachela, hawapendwi.kiuhalisia familia n bora,polen kwa nliyo wa udhi.mm nmezoea utan,ila asanten kwa ushaur
Ila mimi npo hapa chuo kikuu DSM nasomea sheria,ila nna girlfriend, ila nyie mnanipa raha kwel ila mapenzi yaendelee.