Kitu pekee kilichonishinda maishani

Kitu pekee kilichonishinda maishani

mkuu napenda kukushauri lakini sijakuelewa kwenye uzi wako unataka ushauri gani..
unasema umeshindwa kununua kabisa alaf kwa wakat huo huo unatuambia ulinunua lkin mjomba hakufanikiwa kusimama kidedea ebu tufafanuliee...

Kuna siku nilipiga moyo konde nikaingia kwenye hilo danguro la sudani pale ili namimi nipate huduma yao, lakini niliishia kuingiwa na hofu hadi mzee hakufanikiwa kusimama. kichwani nilikuwa najiuliza maswali mengi sana. nilikuwa najiuliza hivi kweli mimi Kozo kijana wa Okamoto ndo nimefikia hatua hadi ya kuingia kwenye madanguro?Pia nilikuwa naogopa naona kama vile siyo safe
 
Kweli bado tunasafari ndefu.. kwenye nchi hii bado kuna changamoto nyingi sana za kutatua ila watu wapo bize na zinaa
Bora uoe mkuu. maana vitabu vyote vya dini vinatuambia Tuikimbie zinaa nayo itatukimbia


Ushauri mzuri mkuu, ila ni baba wa watoto wanne
 
Buku 10 ni gharama ? Akija bongo star anaetaka laki 2 utafanyaje?

Shida siyo gharama, nilimaanisha kuwa hata kama kununua kahaba itakuwa elf 10 tu, bado sitaweza ni bora nimsafirishe mtu niliyemzoea kutoka hata mkoa mmoja hadi mwingine kuliko kupata huduma ya kahaba
 
Basi ukizoea kununua uwezi acha
Ni wachafu katika mapenzi
Hela yako utakayotoa
Ndio huduma utakavyopewa
Hawa wa kubembeleza miezi 6 yanini
Lipa kadri unavyotumia!!siwezi kutongoza mwanamke miezi sita kwa gharama ya laki sita ili tu nikafurahi kwa dakika sita!!ni heri nikonyeze kwa sekunde moja nilipe nyekundu moja nipige kimoja tuachane kimoja!
 
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.

Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.

Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato

Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Konichiwa Yujin......kanpai....do itashimashite.......yokoso....ila haukonpeke yako...ni mind set..hata mi nishachemka hiyo sekta...unakuwa na hofu..si mazoea....ila demu ambae unachat nae umemzoea utakula show hadi aombe poo....sayonara
 
Bora ata ughalimie tiketi ya ndege so malaya
Huyo malaya mwaminifu utakayemtumia tiketi ya ndege kutoka huko aliko hadi kukufikia wewe atakuwa keshaliwa na chain ya watu si chini ya kumi kabla ya kukufikia wewe wa kumi na moja!! Halafu unamwamini hadi unauza mechi(unaloweka) then unapata ngoma na unaanza kumlaumu mungu kuwa amekuonea wewe unayezini na makahaba waaminifu na kuwaacha ma hit&run wakiwa salama! Kumbe uliukwaa kwa kahaba unayemwamini ila asiye mwaminifu kwako! Mimi sitaki mtu aniamini,na mimi simwamini mtu! Yaani ni vita ya macho kwa macho! Sitaki kudanganywa mimi!
 
Back
Top Bottom