Kitu pekee kilichonishinda maishani

Kitu pekee kilichonishinda maishani

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.

Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.

Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato

Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
 
Mwanzo huwa mgumu, hata jambazi siku ya kwanza huwa hawezi hata kushika bastora lakini baadae huwa ndio mwalim
Hata mwanamke huwa anaogopa sana kumvulia mwanaume nguo kabla hajabikiliwa ila akisha bikiliwa unaweza mkuta tayari ameina chuma mbonga we muulizw GuDume atakuambia zaidi
 
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.

Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.

Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato

Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Kweli bado tunasafari ndefu.. kwenye nchi hii bado kuna changamoto nyingi sana za kutatua ila watu wapo bize na zinaa
Bora uoe mkuu. maana vitabu vyote vya dini vinatuambia Tuikimbie zinaa nayo itatukimbia
 
awa wa kutongoza wanazingua, mpaka upate mbunye , zaidi ya laki ishakutoka, njoo chamani,
 
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.

Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.

Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato

Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
mkuu napenda kukushauri lakini sijakuelewa kwenye uzi wako unataka ushauri gani..
unasema umeshindwa kununua kabisa alaf kwa wakat huo huo unatuambia ulinunua lkin mjomba hakufanikiwa kusimama kidedea ebu tufafanuliee...
 
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.

Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.

Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato

Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Hapo kuna tatizo la udomo zege inaonyeaha ukikosa wale uliozoea huwezi kwa wengine kabisa
 
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.

Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.

Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato

Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Mkuu kwa nini unatetemeka? Kwan unaenda kuchinjwa?
 
Basi ukizoea kununua uwezi acha
Ni wachafu katika mapenzi
Hela yako utakayotoa
Ndio huduma utakavyopewa
Hawa wa kubembeleza miezi 6 yanini

Aisee kumbe huwa napitwa na mengi
 
Back
Top Bottom