Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.
Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.
Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato
Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.
Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.
Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato
Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya