Kitu hicho ....Picha ya harusi!

omujubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
4,444
Reaction score
2,700
Hebu angalia hii picha ilivyochukua mazingira halisi ya wahusika kisha linganisha na za kwetu zinazowekeza mamilioni ya pesa ili kupata 'artificial scenes' alafu tupia neno.
 
Sasa wakianguka uko au akitokea nyoka iyo honeymon si watailia hospitali?
 
Duniani kuna vituko, wamependaza ila siyapendi mataji na kupanda juu ya mti ndio.
 
mependa kiatu cha bibi HARUC .....simple
 
Hao wakio kwenye mti ni watusi nini. Mbona warefu sana?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…