Optimus_Prime
Senior Member
- Nov 14, 2017
- 137
- 282
Jaman mim nna swali kwenu nyinyi wana jamvi, hivi ni bidhaa(kitu) gani ulichonunua kisichozidi thamani ya laki 2 lakini kiliyabadilisha maisha yako au kilikusaidia kwa kiasi ambacho huwez kusahau.
Kiwanja nilichojenga nyumba yangu ya kwanzaJaman mim nna swali kwenu nyinyi wana jamvi, hivi ni bidhaa(kitu) gani ulichonunua kisichozidi thamani ya laki 2 lakini kiliyabadilisha maisha yako au kilikusaidia kwa kiasi ambacho huwez kusahau.
Ile ninayokaa mimi eeh? Ulinunua shngapi?Kiwanja nilichojenga nyumba yangu ya kwanza
Laki na nusu asee...Ile ninayokaa mimi eeh? Ulinunua shngapi?
Wow...sasa kilibadilishaje maisha yakoLaki na nusu asee...
Ningekupataje kwa mfano... wakati ulinambia hupendi kuishi kwenye nyumba za kupanga?Wow...sasa kilibadilishaje maisha yako
kweli naona kilibadilisha maisha yako na yanguNingekupataje kwa mfano... wakati ulinambia hupendi kuishi kwenye nyumba za kupanga?
Sasa mbona hujanambia ahsante?kweli naona kilibadilisha maisha yako na yangu
Nikushukuru mara ngapi sasaSasa mbona hujanambia ahsante?
Nishukuru kiutu uzima sasa....Nikushukuru mara ngapi sasa
Hapahapa kwenye huu uzi?Nishukuru kiutu uzima sasa....
Unapopendelea wewe...Hapahapa kwenye huu uzi?
Unapajua twende basiUnapopendelea wewe...
Haya tangulia naja... Raha ni wewe uanze kufika.Unapajua twende basi
HayaaHaya tangulia naja... Raha ni wewe uanze kufika.