Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 599
Utangulizi
Kitovu ni ishara ya nje ambayo inaonyesha muunganiko wa mtoto na hasili yake.
Ezekieli 16:3-4
[3]useme, Bwana MUNGU auambia Yerusalemu hivi; Asili yako na kuzaliwa kwako kwatoka katika nchi ya Mkanaani; Mwamori alikuwa baba yako, na mama yako alikuwa Mhiti.
.
[4]Na katika habari za kuzaliwa kwako, siku ile uliyozaliwa, kitovu chako hakikukatwa, wala hukuoshwa kwa maji usafishwe; hukutiwa chumvi hata kidogo, wala hukutiwa katika nguo kabisa.
Mungu anasema na Yerusalemu habari ya Kuzaliwa kwake ,anawataja wazazi wake yaani nchi zile ambazo Yerusalemu walizichukua kuwa nchi Yao ndio wanaitwa wazazi na anasema asili ya Yerusalemu haikuondolewa na ile nchi ambayo Mungu aliwapa ndio maana Maisha Yao yalikuwa sawasawa na ile nchi ambayo aliwapa
Kumbukumbu la Torati 20:17-18
[17]lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru BWANA, Mungu wako;
[18]wasije wakawafunza kufanya mfano wa machukizo yao yote, waliyoifanyia miungu yao; hivyo itakuwa ni makosa juu ya BWANA, Mungu wenu.
Mungu anasema na Yerusalemu ambaye ni Mimi na wewe kwamba Maisha Yao yanatokana na tabia za wazazi wao kwa sababu wazazi wao ambao ni wakanaani na waamori ni watu ambao walikuwa wakiabudu Mungu mingine ndio maana anaona vitendo vya watoto wake vinatokana na nchi ambayo walipokea urithi ambao Mungu aliwapa
Mungu anatumbia kwamba kitovu linatengeneza Hatima ya Maisha yetu , anasema aliona tabia ya kuabudu Miungu migeni kutoka kwa watoto wake Israeli itokana na kurithi nchi ambayo walikuwa ni waabudu Miungu akielezea Kwa picha ya mtoto ambaye amezaliwa na wazazi ambao wanaabudu Miungu migeni lakini wakati anazaliwa kitovu chake hakikukatwa katika jinsi ya Rohoni ili asiweze kuendelea kuitumikia Miungu ya wazazi wake.
Swali langu kwako ,unajua baada ya wewe Kuzaliwa kile kitovu chako walipeleka wapi ? Ulishawai kuumuuliza Bibi, shangazi , mama mkwe au Baba mkwe kile kitovu cha mtoto wako alikipeleka wapi ?
Je unajua kitovu cha mtoto wako au chako mwenyewe ni lazima kikatwa katika ulimwengu wa Roho ili wewe usiwechini ya utawala wa Miungu ya wazazi wako?
Ulishawai kuuliza juu ya asili yako , uko nyuma hapo zamani walikuwa wanapeleka wapi vitovu vya watoto?
Karibu tuchangie.
Kitovu ni ishara ya nje ambayo inaonyesha muunganiko wa mtoto na hasili yake.
Ezekieli 16:3-4
[3]useme, Bwana MUNGU auambia Yerusalemu hivi; Asili yako na kuzaliwa kwako kwatoka katika nchi ya Mkanaani; Mwamori alikuwa baba yako, na mama yako alikuwa Mhiti.
.
[4]Na katika habari za kuzaliwa kwako, siku ile uliyozaliwa, kitovu chako hakikukatwa, wala hukuoshwa kwa maji usafishwe; hukutiwa chumvi hata kidogo, wala hukutiwa katika nguo kabisa.
Mungu anasema na Yerusalemu habari ya Kuzaliwa kwake ,anawataja wazazi wake yaani nchi zile ambazo Yerusalemu walizichukua kuwa nchi Yao ndio wanaitwa wazazi na anasema asili ya Yerusalemu haikuondolewa na ile nchi ambayo Mungu aliwapa ndio maana Maisha Yao yalikuwa sawasawa na ile nchi ambayo aliwapa
Kumbukumbu la Torati 20:17-18
[17]lakini uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, kama alivyokuamuru BWANA, Mungu wako;
[18]wasije wakawafunza kufanya mfano wa machukizo yao yote, waliyoifanyia miungu yao; hivyo itakuwa ni makosa juu ya BWANA, Mungu wenu.
Mungu anasema na Yerusalemu ambaye ni Mimi na wewe kwamba Maisha Yao yanatokana na tabia za wazazi wao kwa sababu wazazi wao ambao ni wakanaani na waamori ni watu ambao walikuwa wakiabudu Mungu mingine ndio maana anaona vitendo vya watoto wake vinatokana na nchi ambayo walipokea urithi ambao Mungu aliwapa
Mungu anatumbia kwamba kitovu linatengeneza Hatima ya Maisha yetu , anasema aliona tabia ya kuabudu Miungu migeni kutoka kwa watoto wake Israeli itokana na kurithi nchi ambayo walikuwa ni waabudu Miungu akielezea Kwa picha ya mtoto ambaye amezaliwa na wazazi ambao wanaabudu Miungu migeni lakini wakati anazaliwa kitovu chake hakikukatwa katika jinsi ya Rohoni ili asiweze kuendelea kuitumikia Miungu ya wazazi wake.
Swali langu kwako ,unajua baada ya wewe Kuzaliwa kile kitovu chako walipeleka wapi ? Ulishawai kuumuuliza Bibi, shangazi , mama mkwe au Baba mkwe kile kitovu cha mtoto wako alikipeleka wapi ?
Je unajua kitovu cha mtoto wako au chako mwenyewe ni lazima kikatwa katika ulimwengu wa Roho ili wewe usiwechini ya utawala wa Miungu ya wazazi wako?
Ulishawai kuuliza juu ya asili yako , uko nyuma hapo zamani walikuwa wanapeleka wapi vitovu vya watoto?
Karibu tuchangie.