Kitoto acha nursery

Bieng Gineous

Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
18
Reaction score
13
katika daladala kitoto cha nursery kikawa kinaimba..: "Baba angekuwa jogoo,na Mama kuku,mm ningekuwa Kifaranga"... Abiria wote kimya..! Kikaendelea tena kuimba..:"Baba angekuwa Beberu, na Mama mbuzi,mm ningekuwa Ndama"... konda akaona kitoto kinamzingua akakiuliza..;je Baba yako angekuwa Mlevi,na mama Malaya,we ungezaliwa nani..? katoto kakajibu ningekuwa KONDA WA DALADALA.....!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…