Joel Osteen namuheshimu kama mmoja wa magwiji katika kuinspire waliokata tamaa. Ila kwa hili la kitimoto, namshauri akae mbali kabisa maana hana hoja ya kisayansi. Rather it is journalistic way of convicing people with no sound scientific evedence.
Meanwhile,wiki hii nitapata kitimoto na next week nitapata supu ya pweza ili niweze kutoa tahmini (based evidence answer)