Mwehu tu huyo
huyo mamluki wa ccm hana jipya,amechuja mbayaaa
Amedhalilisha shahada ya uzamivu kama alivyofanya mukwerekwere.
BAVICHA hamjitambui. Mlimsimanga Kafulila na kumuita sisimizi, leo mnamuona hero na mnambebeleza aingie kwenye baraza lenu fake mnaloita kivuli. Wapuuzi mnaojazana ujinga kuanzia juu hadi chini. Mtaumbuka sana mwakani kama mlivyoumbuka Kalenga na ndio mtajua kwamba siasa nyie hamuijui, ni wapuuzi fulani tu hivi wanaosaka tonge!