Kitila Mkumbo ni Kiongozi mahiri sana, namkubwali. Alipata asilimia 75% ya kura za wanachuo kikuu cha dar es salaam mwaka 1998 ili kuongoza DARUSO kipindi hicho. Na uongozi wake ulikuwa mahiri na bado unabaki kuwa mafano. Amewekewa mizengwe asiwe kiongozi pale chuo kikuu, lakini wanataaluma wanampenda.
Hata hivyo, ninamshangaa Kitila kitu kimoja, anaogopa nini kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja? Dr.Kitila Mkumbo, nakuhakikishia hutakufa njaa kwa kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja. Tunakuhitaji zaidi CHADEMA watete wananchi wako. Umri wako bado ni mdogo, wakikutimua chuo kikuu kwa sababu ya siasa, hakuna taasisi hapa ulimwenguni itakukataa, hata UN watakuchukua[/QUOTE
napenda sana kusoma wosia wa Dk.Kitila katika gazeti la Raiamwema.
Dr. Kitila,Kitila Mkumbo ni Kiongozi mahiri sana, namkubwali. Alipata asilimia 75% ya kura za wanachuo kikuu cha dar es salaam mwaka 1998 ili kuongoza DARUSO kipindi hicho. Na uongozi wake ulikuwa mahiri na bado unabaki kuwa mafano. Amewekewa mizengwe asiwe kiongozi pale chuo kikuu, lakini wanataaluma wanampenda.
Hata hivyo, ninamshangaa Kitila kitu kimoja, anaogopa nini kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja? Dr.Kitila Mkumbo, nakuhakikishia hutakufa njaa kwa kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja. Tunakuhitaji zaidi CHADEMA watete wananchi wako. Umri wako bado ni mdogo, wakikutimua chuo kikuu kwa sababu ya siasa, hakuna taasisi hapa ulimwenguni itakukataa, hata UN watakuchukua
kamanda mkumbo yupo hapa tabora na asubuhi atakuwepo chuo kikuu kishiriki cha sauti kuongea na wanachuo wa chuo hicho.
Kitila Mkumbo ni Kiongozi mahiri sana, namkubwali. Alipata asilimia 75% ya kura za wanachuo kikuu cha dar es salaam mwaka 1998 ili kuongoza DARUSO kipindi hicho. Na uongozi wake ulikuwa mahiri na bado unabaki kuwa mafano. Amewekewa mizengwe asiwe kiongozi pale chuo kikuu, lakini wanataaluma wanampenda.
Hata hivyo, ninamshangaa Kitila kitu kimoja, anaogopa nini kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja? Dr.Kitila Mkumbo, nakuhakikishia hutakufa njaa kwa kujiingiza kwenye siasa moja kwa moja. Tunakuhitaji zaidi CHADEMA watete wananchi wako. Umri wako bado ni mdogo, wakikutimua chuo kikuu kwa sababu ya siasa, hakuna taasisi hapa ulimwenguni itakukataa, hata UN watakuchukua