D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 3,011 Reaction score 2,049 Oct 7, 2022 #1 Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza. Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo yapo. Kitanda ni mbao ya Mninga na godoro ni kutoka kampuni ya FURAHA. Karibuni kwa namba 0768 838320
Habari wanajf,Kitanda cha 5 kwa 6 na godoro lake vinauzwa kwa tsh laki 4 tu (400,000/=). Vyote ni vipya kabisa na havijawai kutumia kwani alinunua mdogo wangu na kuviweka kwangu Sasa kuna PESA anaitaji ndio sababu kubwa ya kuviuza. Vinapatikana TABATA KINYEREZI Dar es Salaam maongezi kidogo yapo. Kitanda ni mbao ya Mninga na godoro ni kutoka kampuni ya FURAHA. Karibuni kwa namba 0768 838320
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,301 Reaction score 89,417 Oct 7, 2022 #2 Kila lakheri. Bei rafiki kabisa.
K kinje ketile JF-Expert Member Joined Dec 12, 2015 Posts 5,364 Reaction score 10,103 Oct 7, 2022 #3 Picha haziridhishi , piga tena usitumie tecno
D delako JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 3,011 Reaction score 2,049 Oct 7, 2022 Thread starter #4 Thanks wanajf wote mlioreply. Business closed.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,201 Reaction score 185,495 Oct 7, 2022 #5 Ahsante kwa taarifa...