NakitakaHabari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.
Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
BEI NI 250000 Tu kwa vyote
Karibuni
usiende kwa watu hawa wanaonunuaga vitu used.wanawalanguaga sana watu.mi ishanitokeaga hyoPale ambapo wanauzaga mboga mboga jioni?
UpdatesHabari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.
Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote
Karibuni
Mkuu huko Nina pa kuanzia nataka. Iyo pesa niongezee nkajipange siunajua msimu wa kilimo huuPole sana mkuu. Utahamia kijiji gani? Taja na wilaya pengine naweza kukuwezesha ukaenda nacho huko huko make kulala chini napo sio vizuri kunguni, shagembe, utitiri, maumivu ya mbavu vyote vyako!!
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.
Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote
Karibuni