okyo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,004
- 1,504
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.
Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote
Karibuni
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri
Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.
Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote
Karibuni