INAUZWA Kitanda na godoro lake vinauzwa

okyo

JF-Expert Member
Mar 16, 2013
2,004
1,504
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri

Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.

Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote

4d72ff28a3c123b25b4ee04f21feab90.jpg
87dd338b42eeafa21720e73c5cc739c0.jpg

Karibuni
 
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri

Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.

Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
BEI NI 250000 Tu kwa vyote

4d72ff28a3c123b25b4ee04f21feab90.jpg
87dd338b42eeafa21720e73c5cc739c0.jpg

Karibuni
Nakitaka
 
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri

Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.

Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote

4d72ff28a3c123b25b4ee04f21feab90.jpg
87dd338b42eeafa21720e73c5cc739c0.jpg

Karibuni
Updates
Wadau kitanda bado kipo na bei imeshuka mana hali ya uchumi imekuwa ngumu sana
Bei mpya ni 200000/=
 
Pole sana mkuu. Utahamia kijiji gani? Taja na wilaya pengine naweza kukuwezesha ukaenda nacho huko huko make kulala chini napo sio vizuri kunguni, shagembe, utitiri, maumivu ya mbavu vyote vyako!!
 
Pole sana mkuu. Utahamia kijiji gani? Taja na wilaya pengine naweza kukuwezesha ukaenda nacho huko huko make kulala chini napo sio vizuri kunguni, shagembe, utitiri, maumivu ya mbavu vyote vyako!!
Mkuu huko Nina pa kuanzia nataka. Iyo pesa niongezee nkajipange siunajua msimu wa kilimo huu
 
Habari wakuu..
Kutokana na hali mbaya ya kiuchumi hapa mjini nimeamua uza kitanda na godoro nirejee kijijini nikajiajiri

Kitanda ni futi 5 kwa 6 pamoja na godoro Dodoma vimetumika miezi sita tu vyote vipo kwenye hali nzuri sana.

Vinapatikana riverside
Kwa anahitaji tuwasiliane kupitia pm
Au kupitia namba hii
0652482782
BEI NI 250000 Tu kwa vyote

4d72ff28a3c123b25b4ee04f21feab90.jpg
87dd338b42eeafa21720e73c5cc739c0.jpg

Karibuni

Godoro inch ngap
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom