Naona lile taulo limekutisha mzeebabaMbona kama ni kitanda cha guest house?....
mkuu twende tukafanye test tuoneKitahimili mikiki hichoo, Kwa siye vibonge nna kg 140. Ila kizurii
Yani kwa kifupi kiko imara chaga zipo intact na unaweza ukashindwa kubeba huo upande mmoja wa upande wa kichwani. Pia kipo juu kidogo usawa wa futi moja na nusu ndio level ya chaga.Kitahimili mikiki hichoo, Kwa siye vibonge nna kg 140. Ila kizurii
Hahaaa, tukatest aje tena, Mimi naongelea kulala mwenyewe uzito wangu kg 150 hizimkuu twende tukafanye test tuone
Hapo kakuelewaHahaaa, tukatest aje tena, Mimi naongelea kulala mwenyewe uzito wangu kg 150 hizi![]()
Yaan kutest Kama kinahimili mbilinge mbilinge na kukura kakara za waburudikao.Hahaaa, tukatest aje tena, Mimi naongelea kulala mwenyewe uzito wangu kg 150 hizi![]()
Mambo yetu yale ya ''tayari bado''Mambo gani?
Lord have Mercy !Kitahimili mikiki hichoo, Kwa siye vibonge nna kg 140. Ila kizurii
Tumekusikia mkuu ila jua Vitanda vinatofautiana mkuu hiyo uliyotaja sio flat rate kwamba vitanda vyote vinauzwa 170k kuna swala la QUALITY ...mbao gani zimetumika, ni cha size gani, godoro brand gani na lina unene wa inchi ngapi. Kuna vitanda hadi vya Milioni na vingine hadi elfu hamsini uchaguzi ni wako.Kwa 170 unapata godoro jipya na kitanda
Why Babu Asprin? I meant "I'm quite kibonge je nikilala hakitashuka hichoLord have Mercy !
Mi ni Tomaso. Tumia mimi picha nijiridhisheWhy Babu Asprin? I meant "I'm quite kibonge je nikilala hakitashuka hicho![]()
![]()
Hahaaa, kibabu kina mambo hiki ,picha ya nini sasa ntamwambia Sky ohoooMi ni Tomaso. Tumia mimi picha nijiridhishe
Well said.Tumekusikia mkuu ila jua Vitanda vinatofautiana mkuu hiyo uliyotaja sio flat rate kwamba vitanda vyote vinauzwa 170k kuna swala la QUALITY ...mbao gani zimetumika, ni cha size gani, godoro brand gani na lina unene wa inchi ngapi. Kuna vitanda hadi vya Milioni na vingine hadi elfu hamsini uchaguzi ni wako.
Karibu