KUNA KUNGUNI PIA?? MIMI NATAKA WAMEMo
Mkuu jamaa kaanza kuuza kwanza kunguni kwa hyo kimebak kitanda tuu
KUNA KUNGUNI PIA?? MIMI NATAKA WAMEMo
Vitanda vilivyotumika huwa vina mikosi sana kwa sababu wamiliki huwa wanafanyia madhambi sana humo....hasa ya kulana kiboga
Mimi nilinunua kimoja nikawa nashangaa mabalaa hayaniishi mpaka nikapata shida nikakiuza na ndio ukawa mwisho wa misuko suko.....
Nikaja nikapewa habari na wazee kuwa si vyema kununua vitanda used...
KUNA KUNGUNI PIA?? MIMI NATAKA WAMEMo
nikupe 50
Hicho peleka guest house chap ela yako unaeka kibindoni
Naomba kuuliza... Je hakizai haram??