Waungwana nauza kitanda double decker cha chuma chini ni futi 5x6 na juu futi tatu na nusu kwa sita. Ni kizuri na imara nauza pamoja na godoro lake la juu. Bei sh. 350,000/= pungufu tunaweza kuongea. Nipo Magomeni Dar. Nimeshindwa kuattach picha. Yeyote anayehitaji tuwasiliane kwa PM au anipigie simu namba 0715 597591.