TUPAMBANE SANA
Member
- Nov 21, 2018
- 29
- 26
Ndugu viongozi wa serikali.
Jaribuni kupunguza mafoleni haya yanayojitokeza kwa kujiandikisha katika vitambulisho vya kupigia kura kama Mtu anakitambulisho cha utaifa ni vyema kama amepoteza kitambulisho cha kupigia kura akajaza taarifa zake online kwa maana picha na detail zote zipo ila kuwepo na mahali ambapo anataka kitambulisho chake apokelee.
kwanza kunaweza kikatumwa kwa njia ya posta kwa wale wenye nazo pia kitumwe kwa ofisi ya mtaa wake then kwa wajumbe wa nyumba kumi vitatufikia vizuri.
Kwa maana hiyo tutakuwa tumepunguza foleni sana na kuokoa Muda wa wananchi.
Jaribuni kupunguza mafoleni haya yanayojitokeza kwa kujiandikisha katika vitambulisho vya kupigia kura kama Mtu anakitambulisho cha utaifa ni vyema kama amepoteza kitambulisho cha kupigia kura akajaza taarifa zake online kwa maana picha na detail zote zipo ila kuwepo na mahali ambapo anataka kitambulisho chake apokelee.
kwanza kunaweza kikatumwa kwa njia ya posta kwa wale wenye nazo pia kitumwe kwa ofisi ya mtaa wake then kwa wajumbe wa nyumba kumi vitatufikia vizuri.
Kwa maana hiyo tutakuwa tumepunguza foleni sana na kuokoa Muda wa wananchi.
