Nenda office za bima hua pia zinapatikan hospital za wilaya na mikoa chukua form ujaze km ulivyojaza mwanzo taarifa zako zote ila hua unalipia km ckosei 15000
Nenda ofc ya bima chukua form ya utambulisho ijaze kisha ipeleke police utapewa loss report kisha unalipia benk(akaunti watakupa) kisha ndenda bima ukajaze fomu ya kuomba tena
Nenda ofc ya bima chukua form ya utambulisho ijaze kisha ipeleke police utapewa loss report kisha unalipia benk(akaunti watakupa) kisha ndenda bima ukajaze fomu ya kuomba tena
Nenda office za bima hua pia zinapatikan hospital za wilaya na mikoa chukua form ujaze km ulivyojaza mwanzo taarifa zako zote ila hua unalipia km ckosei 15000
mimi nilimuombea mtu kupitia crdb bank ( ni agent wa NHIF) kitengo cha Insurance, nililipia elf 80,600. unakipata baada ya siku 40. ila ukienda kuomba NHIF nadhan ni 76800. unarenew kila baada ya mwaka 1.