barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,586
Missionary style kuifanya kwa ufanisi sahau!Kikubwa Pumzi
Missionary style kuifanya kwa ufanisi sahau!Kikubwa Pumzi
Mmmmmh.....Me nasani hujui shughuli ya masiwa
Waulise wenye vitambi watakupa matumizi ya masiwa kwenye tendo la ndoa🏃🏃🏃🏃
So Bora wowowo lisiwepo lakini masiwa yawepo🚶🚶
kwa mwanaume nguvu ya kumtembeza vizuri mzee wa utamu inatoka kwenye tumbo hivyo kitambi kikubwa ni tatizo sanaa. wewe mwenyewe unajua ukikutana na tumbo flat nn kinakupata.Uuuuuuuwiiii
Ushakutana nao wenye vitambi nn...tupe uzoefuKweli kabisa
Drone Camera njoo skiliza wenzio wanasema ukweli 🏃🏃
Ndio hio inayomezwaMwanamke ana dyu dyu??
I thot dyu dyu NI ya mwanaume??
So be it 😀😀😀😀Best wewe utakuwa na kitambi 😂😂🏃🏃🏃
.wenye vitambi wengi sio wafanya mazoezi, hence no pumzi. Tako kadhaa yupo hoi.Tupe sababu. Inaubaya gani kwenye tendo la ndoa?!
🤣🤣Kikunku na kitambi tutawezanaNipo baa moja huku Mbezi Beach kwetu njia ya chini inaitwa BUV, tunamshukuru alierudisha maisha yetu mtaani, Mungu Ambariki
Basi ni kama watu wamefunguliwa kusini, utadhani huko ndani hawajamalizana, watu wanasukuma viuno kama vyotee, sijui NI mazoezi ya jumapili maana tumeambiwa jumapili tupige mziki kama wote, Yaani oya oya kama zote na huko beach ndio kabisaa🏃🏃
Kilichonifurahisha kuna walevi hapa nyuma yangu wanacheza mziki unasema" Okonko nikikupenda utawezana?" Uko na kitambi utawezana
Sasa sijaelewa kitambi kinazuia nini kwenye tendo la ndoa? 🙄