MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 20,897
- 63,783
Kuna huu wimbo unaitwa KITABU aliimba DARASA na kumshirikisha Diamond Platnumz.
Mimi mara ya kwanza kuusikiliza ilikuwa mwaka 2011 au 2012 kama sikosei. Sasa juzi nipitia vitu vyangu vya zamani nikaukuta nikasema ngoja niuweke wadau wausikilize.
Humu ndani darasa kachan vizuri sana: Ujumbe umesimama, Diamond katoa Vocal Suport ya kutosha *Nyuma ya biti anatoa sauti fulani ya kulalamika) na hata biti yenyewe ni nzuri sana,.
CC: Wick , chige , Davet
Mimi mara ya kwanza kuusikiliza ilikuwa mwaka 2011 au 2012 kama sikosei. Sasa juzi nipitia vitu vyangu vya zamani nikaukuta nikasema ngoja niuweke wadau wausikilize.
Humu ndani darasa kachan vizuri sana: Ujumbe umesimama, Diamond katoa Vocal Suport ya kutosha *Nyuma ya biti anatoa sauti fulani ya kulalamika) na hata biti yenyewe ni nzuri sana,.
CC: Wick , chige , Davet