Kisutu Sekondari

baada ya hapo watasikia maumivu ya kichwa. kama ni adhabu, sio nzuri.
 
Adhabu kwa wanafunzi ni muhimu sana, lakini siyo ya hivi
 
Ingekuwa enzi zileee, tungesema mwalimu aliyetoa adhabu hiyo inawezekana ametoka JKT hivi karibuni.
 
...chawa wamezidi, namna ya kujikuna nako kunabadilika!
 
Wanafanya nini hawa?....wameadhibiwa?
.
Mkuu BAK hiyo ni aina ya adhabu ambazo zamani walikuwa wanaita .... Tega Mota ... duh! hivi haya mambo bado yapo siku hizi?! ...
 
mazoezi ama adhabu nzuri sana akiwa kitandan hapat shida ya style.
 
Hapa mwalimu alikuwa na wazo zuri tu, unajua vijana wengi IQ zao zimehamia maeneo ya kusini hivyo alitaka akili yote iliyohamia maeneo hayo irudi kichwani. Bila shaka huo sio ule wakati walimu walipokuwa wamegoma. Tehetehetehetehetehete.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…