Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Kesi hii ipo chini ya Hakimu Simba ambaye ameanza kwa kusema:
“Ninataka kesi yangu imalizike.
Tupange kesho (Desemba 21, 2017) tukutane saa tano, Upande wa Jamhuri hakikisha mnaleta mashahidi wote. Nataka hadi kufika Ijumaa kesi yetu iwe imekwisha. Kama itakwenda kwenye defence iende. Kuahirisha kesi kwenda hadi mwaka ujao kuna shida. Tusipojipanga tutatoka saa nne usiku.”
Wakili wa Jamhuri aliyekuwepo ni Batilda Mushi ambaye alikuja na shahidi. Wakili wa Utetezi alikuwepo Peter Kibatala na Jeremiah Mtobesya.
Kesi imeahirishwa hadi kesho saa tano kamili asubuhi.
Kujua tulikotokea, soma > Kesi namba 457 (Jamhuri vs JamiiForums): Shahidi wa nne atoa ushahidi, kielelezo chake chazua mjadala
“Ninataka kesi yangu imalizike.
Tupange kesho (Desemba 21, 2017) tukutane saa tano, Upande wa Jamhuri hakikisha mnaleta mashahidi wote. Nataka hadi kufika Ijumaa kesi yetu iwe imekwisha. Kama itakwenda kwenye defence iende. Kuahirisha kesi kwenda hadi mwaka ujao kuna shida. Tusipojipanga tutatoka saa nne usiku.”
Wakili wa Jamhuri aliyekuwepo ni Batilda Mushi ambaye alikuja na shahidi. Wakili wa Utetezi alikuwepo Peter Kibatala na Jeremiah Mtobesya.
Kesi imeahirishwa hadi kesho saa tano kamili asubuhi.
Kujua tulikotokea, soma > Kesi namba 457 (Jamhuri vs JamiiForums): Shahidi wa nne atoa ushahidi, kielelezo chake chazua mjadala