Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
Na wewe hujihurumii hii kijiji ndio 2nd City yenuJust imagine tuziondoe zile ghorofa mbili hapo!yaani hata malindi itakuwa juuView attachment 1333079
Siwezi leta nyumba moja moja hapa mimi zilizopo CBD sababu ni nyingi sana labda tuwe tunakuletea zilizo nje ya CBD kama hapo 👇👇Niliwaambia Mwanza na kisii hakuna tofauti ju hamna hata tower moja.
Tuletee tower huko mwanza Kama hii ya Kisumu.
View attachment 1333742
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia akili tu ya kawaida hiyo image hata haionyeshi cbd inaonyesha 76%mlimani 😂😂😂😂na imechukuliwa kutoka bugando upande wa kushoto ni igogo mlimani na ukiteremka chini unashukia hapa 👇👇Na wewe hujihurumii hii kijiji ndio 2nd City yenu. Mwanza hakuna hata tower ya kuondoa ju ni vichaka TupuView attachment 1333744
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hiki kijengo tukiondoa zile tower mbili ndio kinabaki hapo 👇👇nafahamu vizuri sana 😂😂😂huwezi leta kitu new coz kisumu is too small kama pilitonNiliwaambia Mwanza na kisii hakuna tofauti ju hamna hata tower moja.
Tuletee tower huko mwanza Kama hii ya Kisumu.
View attachment 1333742
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo milima estate ishaletwa zamani sana humu tuondolee uvivu wako pitia hii thread vizuri
Watanzania nyinyi ni mungu awasaidie. How can that crap compare to Kenya's second City. MombasaTumia akili tu ya kawaida hiyo image hata haionyeshi cbd inaonyesha 76%mlimanina imechukuliwa kutoka bugando upande wa kushoto ni igogo mlimani na ukiteremka chini unashukia hapaView attachment 1333756
Na hiki kijengo tukiondoa zile tower mbili ndio kinabaki haponafahamu vizuri sanahuwezi leta kitu new coz kisumu is too small kama piliton View attachment 1333757
😂😂😂😂😂😂serious kweli mtu unasema kuna tower tatu under construction wakati mwanza zipo kibao 😂😂
Fungua Uzi Mwanza vs mombasa uoneWatanzania nyinyi ni mungu awasaidie. How can that crap compare to Kenya's second City. Mombasa. View attachment 1333772View attachment 1333773View attachment 1333774View attachment 1333775View attachment 1333776View attachment 1333777View attachment 1333778
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza haina tower hata moja. Infact Tz apart from Dar hakuna kitu ya maanaserious kweli mtu unasema kuna tower tatu under construction wakati mwanza zipo kibao
Fungua Uzi Mwanza vs mombasa uone
Tatizo lako huwa ni kukurupuka tu na mada za ajabu ajabu huna hata clue,eti Mwanza hakuna uwanja wa ndege kichwa chako hakiko sawaMwanza hata Airport hamna mtawezana na Mombasa kweli. Nyali pekee ni Mwanza mara Kumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kibanda ndio mnaita airport amaTatizo lako huwa ni kukurupuka tu na mada za ajabu ajabu huna hata clue,eti Mwanza hakuna uwanja wa ndege kichwa chako hakiko sawa
Una tabu kwelikweli
Tumia akili tu ya kawaida hiyo image hata haionyeshi cbd inaonyesha 76%mlimanina imechukuliwa kutoka bugando upande wa kushoto ni igogo mlimani na ukiteremka chini unashukia hapaView attachment 1333756
wacha kuweka picha za kupotosha hiyo terminal ishakamilika na kufunguliwa!Under construction mzeeTulia utajipa tabu tu bureView attachment 1334620View attachment 1334621
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mnazindua tangu 2010Under construction mzeeTulia utajipa tabu tu bureView attachment 1334620View attachment 1334621
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia KSM iko na nje njeMwambie na huku ni nje njeView attachment 1334627View attachment 1334628
Sent using Jamii Forums mobile app