Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,008
- 13,800
Tatizo unapenda kusikiliza habari za udaku.Ndege ya ATCL ilivamiwa na kunguru hapo Mwanza.
samahani kukusumbua, lakini mbona miradi ya Tanzania yote inakwama? Hiyo render kumbe ilikuwa inajengwa lakini imekwama tangu 2014 kwa kushindwa kulipa mwana kandarasi (Beijing Construction Engineering Group ). Ilikuwa iaanze kazi september 2014 na mpaka sahi bado iko kwa msingi?
Hiyo ya cargo nayo ilibidi ipunguzwe mpaka 500,000 tonnes kwa kukosa hela. Eldoret airport ambayo ni ndogo kwa Kisumu, cold storage yake inaweka 280 metric tonnes, cargo warehouse inaweka 1.7 million tonnes.
Aibu iko kwako. Huoni aibu iko kwako ju Mwanza mji wenu wa pili unakimbizwa na Kisii townHuoni aibu?
Wewe inabidi nikuwekee video kabisa ili atleast uone how a city CBD should look like. Nawe naomba uweke video tafadhali.Maana hizo picha za jengo moja moja ndo zinakupumbaza.Aibu iko kwako. Huoni aibu iko kwako ju Mwanza mji wenu wa pili unakimbizwa na Kisii townView attachment 1511558View attachment 1511559
Sasa kama Dar pekee haina CBD Mwanza itatoa wapiWewe inabidi nikuwekee video kabisa ili atleast uone how a city CBD should look like. Nawe naomba uweke video tafadhali.Maana hizo picha za jengo moja moja ndo zinakupumbaza.
Weka video ya CBD ya Kisumu.Nami ya Mwanza city naiweka.
Aibu iko kwako. Huoni aibu iko kwako ju Mwanza mji wenu wa pili unakimbizwa na Kisii townView attachment 1511558View attachment 1511559
Hiyo ni Mwanza ya 2005 labda.Kis
Kisii mji wa kumi na..., at this level!., ata Mwanza can't compare to Thika, development and economy! Mwanza bado. I wonder what Tanzania has of significance outside Dar!., hakuna, nimeona tu akina Arusha na hii Mwanza, lakini bado sana, they can level with fourth and fifth (Naks n Eldy) and be defeated fair and square.
Leta video wewe wacha kuniimbia taarabu.Sasa kama Dar pekee haina CBD Mwanza itatoa wapi.
Dah! Hivi center ya huu mji ina haya majengo matatu tu🤣🤣🤣🤣! Maana ni haya haya mnayaonyesha.
Acha uongo kijana, so march 2020 siku hizi imegeuka kuwa 2005? Was there NSSF Hotel in 2005? Was there rock city Mallin 2005? Anyway that CBD is full of shacks.Hiyo ni Mwanza ya 2005 labda.
Leta mji wa Kenya wenye CBD ya hivi ukitoa Mombasa na Nairobi.
Unakurupuka kunukuu bila kuelewa post tatizo.Acha uongo kijana, so march 2020 siku hizi imegeuka kuwa 2005? Was there NSSF Hotel in 2005? Was there rock city Mallin 2005? Anyway that CBD is full of shacks.
View attachment 1513319View attachment 1513320View attachment 1513321
Vipi niendelee na ligi? Maana nina mapicha mengi mengi ya ndani na nje ya mjini kati.
Si ucheki hiyo video hapo uone maghorofa yalivyopangiliwa.One street town due to poor planning. Hakuna CBD Mwanza.
Si ucheki hiyo video hapo uone maghorofa yalivyopangiliwa.
Eti hamna CBD Mwanza hehe pole utazoea tu rafiki.
Ndo mnavyodanganyana huko kwenu eti Tz ni Dar es salaam pekee 🤣 🤣🤣
Unaruhusiwa kuja kutalii lakn.View attachment 1513570
Mombasa.Yes nimecheki video, level ya Mwanza hapa Kenya ni Eldoret town.
Wacha jokes 😹😹😹😹Mombasa.
That's it.Wacha jokes 😹😹😹😹
Yes Mwanza is better than Kisumu. 😁 It's the 2nd most important city after Kampala on the Lake Victoria basin. Sasa wacha thread iendelee kama kawaida.That's it.
Si unaona hata video ya CBD ya Kisumu mmeogopa kuleta.
We know Kenya inside outside. You only know Tz in a nutshell.