real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Mwili wa mfanyabiashara mwenye asili ya Ki Asia aliyejulikana kwa jina la Moiz Esmailjee ambaye alitekwa na watu waliokuwa na silaha siku ya Jumamosi alipotoka kuswali
Amekutwa amekabwa shingoni, mdomo wake umefungwa kwa tepu na mikono imefungiwa mgongoni
Polisi wanasema watekaji hao walitaka walipwe Kshs, milioni 2 ambazo familia yake ilishindwa kuzipata
Familia hiyoilifanikiwa kuwatumia Ksh. laki tatu kwa M Pesa lakini hawakuwaridhisha watekaji hao
Amekutwa amekabwa shingoni, mdomo wake umefungwa kwa tepu na mikono imefungiwa mgongoni
Polisi wanasema watekaji hao walitaka walipwe Kshs, milioni 2 ambazo familia yake ilishindwa kuzipata
Familia hiyoilifanikiwa kuwatumia Ksh. laki tatu kwa M Pesa lakini hawakuwaridhisha watekaji hao