mtoto azaliwe na umtunze acha kuua maana huna tofauti na watu wasiojulikana.
Pili acha uzinzi wewe unahatarisha maisha ya mke wako na watoto wako,
watoto ambao wameshazaliwa unawaharibu kisaikolojia kutokana na ugomvi utakaokuwa unauleta kila siku. nashikwa na hasira sana unavofanya upuuzi kama huu,