Kisanga cha mahaba


Mkuu Ubongokid muhimu ungeanza kuomba ushauri kuhusu wewe una matatizo gani kichwani mkuu, huwezi kuwa na mke nyumbani alafu ukafanya yote hayo uliyofanya na kutolesha mimba zote hizo na bado unaona kawaida tu.
 
We jamaa wanawake umewajulia ukubwani,unaruhusu kimchepuko kimkorofishe mkewe
 
mtoto azaliwe na umtunze acha kuua maana huna tofauti na watu wasiojulikana.

Pili acha uzinzi wewe unahatarisha maisha ya mke wako na watoto wako,

watoto ambao wameshazaliwa unawaharibu kisaikolojia kutokana na ugomvi utakaokuwa unauleta kila siku. nashikwa na hasira sana unavofanya upuuzi kama huu,
 
Kichwa cha habari ni tofauti na unavyotaka tukushauri!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…