Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 18,430
- 42,538
Nyie ndio wenye Dar es Salaam yenyu bwana,mnaijua Buza tangia ni mashamba ya mihogo na hakuna lami😁
Nyie ndio wenye Dar es Salaam yenyu bwana,mnaijua Buza tangia ni mashamba ya mihogo na hakuna lami😁
Ulimuonesha salary slip yako mkuuAiseee weee mzee ni mchawi nini umejuaje mshahara wangu humu ndani kuna vigagula dah...umenikata pozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Amalizie nini 🤣🤔, maana Uzi ni maujinga tu🤒Malizia basi mkuu
Oyaa Scars, makaveli10 mna mjua rapper emenim 😂😂😄🤣🤣Temeke naifananisha mji mmoja pale USA kuna sehemu inaitwa "DETROIT" hii ni sehemu aliyozaliwa rapper EMENIM.
Sent using Jamii Forums mobile app
Emenim 🤣😂🤣😂 huyu atakuwa wa kwa mtogole pale. 🤣😂🤣Oyaa Scars, makaveli10 mna mjua rapper emenim 😂😂😄🤣🤣
Mwana kayumba kiwaki😄🤣😂Emenim 🤣😂🤣😂 huyu atakuwa wa kwa mtogole pale. 🤣😂🤣
We dogo nshakujuaWakati natoka kariakoo na kuacha ile kazi nili plan nianzie life la chini kabsaa sikutaka kuleta ujuaji hapa temeke wakati huo,kumbuka unaanza kaz ambayo upati ela kila sku kama kariakoo hapo mwezi hadi mwezi.
"Ielewe mitaa -fiq Q"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama bongo kuna morroco, sudan, aJentina ushingae Kuwepo EMENIM 😂🤣, Huyo ana mapengo akirap maiki inajaa mate. 😂🤣Mwana kayumba kiwaki😄🤣😂
Mi nipo kwenye mood ya hiyo ujinga muda huu sitaki mambo serious😂😂😂😂Amalizie nini 🤣🤔, maana Uzi ni maujinga tu🤒
Sawa mdogo wanguNilisema bila kusikia neno lako nitakuwa sijapata maana halisi ya wahuni wa Temeke🤣🤣🤣🤣🤣
Pamoja sanaSawa mdogo wangu
Oyaa Scars, makaveli10 mna mjua rapper emenim
oyaa mna mkataa mshikaji wazi waziEmenim huyu atakuwa wa kwa mtogole pale.
makaveli10 kasha sema emenim ni wa kwa mtogole 🤣😄😄😂.oyaa mna mkataa mshikaji wazi wazi
Mkuu umeni attack sana sina maana kwamba elfu 30 ina include hadi umeme na maji Big NO, Kumbuka umeme ni elfu 10,kwa mwezi plus elfu 5 kwa mweziHuna sababu ya kujieleza wala, huwezi honga na kulala na wanawale wa CBE halafu uje ukae chumba cha 30,000, umeme na maji ndani, ni either wewe ni kichaa au unaugua.
Sasa umepata ulichokitaka miss JOANNAHNilisema bila kusikia neno lako nitakuwa sijapata maana halisi ya wahuni wa Temeke