DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Kirungi (kulia), leo Jumatatu Juni 30, 2025 amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya ubunge wa Jimbo la Ulanga mkoani Morogoro.
Kirungi amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Ulanga, Josephine Mbezi.
Kirungi amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Ulanga, Josephine Mbezi.