Gari zote za Majaji,Spika,Naibu Spika Mawaziri na Manaibu wake zina namba zake za usajili za serikali, STK,STL ama STJ....hivyo huwa zinavuliwa zinahifadhiwa kwenye gari humo humo ...ndio zinavalishwa namba za utambulisho wa vyeo......Namba za kawaida anazipataje wakati mko safarini?
Ukiangalia hizo picha utagundua Waziri Kigwangalla wakati anateuliwa kuwa Waziri wa Utalii uteuzi ulimkuta akiwa njiani huko porini.
Wakati huo akiwa Naibu Waziri wa Afya......ilibidi kibao cha Naibu waziri wa Afya Kung'olewa, bendera ishushwe iwekwe namba ya kawaida STL wakati huo akirudi ofisini kusubiri uapisho mpya
....kwa maana hiyo kila kitu kinaishia hapo hapo mara upatapo taarifa.
atazitumia hizo kama nani
Umemaliza kilakitu hapa. UmeelewekaUkiangalia hizo picha utagundua Waziri Kigwangalla wakati anateuliwa kuwa Waziri wa Utalii uteuzi ulimkuta akiwa njiani huko porini.
Wakati huo akiwa Naibu Waziri wa Afya......ilibidi kibao cha Naibu waziri wa Afya Kung'olewa, bendera ishushwe iwekwe namba ya kawaida STL wakati huo akirudi ofisini kusubiri uapisho mpya
....kwa maana hiyo kila kitu kinaishia hapo hapo mara upatapo taarifa.View attachment 800660View attachment 800661
ooh,kumbe ndo maana Nape alionyeshwa mguu wa kuku na makofia,kwa kuhofia anaweza kusema visivyotakiwa kusemwa mwenye PressconPia watu wa usalama wanaanza kukufwata zaidi maana sasa unakuwa subject watataka kujua reaction yako na ya watu wako wa karibu in and out nadhani ni hayo kwasasa
Naona sasa ataanza kuvaa neck tie
Dereva anafanya hivyo kwa maagizo ya bosi wake au yy mwenyewe kwa kazi yake inavyosema?Cha kwanza ukisikia taarifa za utenguzi wako, dereva wako anang'oa namba za Uwaziri zinawekwa za Kawaida.
Bendera inashuswa, hapo hapo unakuwa mbunge wa kawaida
Ni utaratibu wa kawaida tu Serikalini, kwani habari za kutenguliwa anapewa dereva ama mhusika.!Dereva anafanya hivyo kwa maagizo ya bosi wake au yy mwenyewe kwa kazi yake inavyosema?
Gari ina namba mbili, ya uwaziri na stk.Namba za kawaida anazipataje wakati mko safarini?
Umeeleweka vema mkuuGari zote za Majaji,Spika,Naibu Spika Mawaziri na Manaibu wake zina namba zake za usajili za serikali, STK,STL ama STJ....hivyo huwa zinavuliwa zinahifadhiwa kwenye gari humo humo ...ndio zinavalishwa namba za utambulisho wa vyeo......
Angalia post No.59