Kipimo kikubwa Cha afya

Kipimo kikubwa Cha afya

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Habari Wana JF natumaini muwazima
naomba kuuliza niwapi nitapata kipimo kikubwa Cha afya Yani HIV ambacho kinadetect kwa muda mfupi nanitapatiwa huduma kwa bei gani
 
Habari Wana JF natumaini muwazima
naomba kuuliza niwapi nitapata kipimo kikubwa Cha afya Yani HIV ambacho kinadetect kwa muda mfupi nanitapatiwa huduma kwa bei gani

Kipimo kinachoweza kukupa majibu kwa uhakika na hara ni Polymerase chain reaction (PCR). Hii ni kwa kuwa chenyewe kinaenda kutambua RNA au DNA ya kiumbe husika.

Maeneo unaweza kupata kwa ninaofahamu:
1: Metropolitan(Kona ya kuelea Muhimbili Hospitali karibu na geti la MUHAS).
2: Aga Khan Hospitali
3: Maabara ya Lacent
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom